Skip to main content

JK Akutana Na Mkurugenzi Wa Peace Corps



1.Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Bwana Aaron Williams, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la huduma za kujitolea za Wamarekani (American Peace Corps)ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi wakati mkurugenzi huyo na ujumbe walipomtembelea na baadaye kufanya mazungumzo.

2. Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Alfonso Lenhardt, wakiweka saini katika ramani ya duania inayoonyesha sehemu mbali mbali duniani ambapo Shirika la huduma za kujitolea za Wamarekani(American Peace Corps volunteer) linatoa huduma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 tangu shirika hili lilipoanzishwa.Wengine katika picha aliyesimama kushoto ni Mkurugenzi mkuu wa Shirika hilo duniani, Bwana Aaron Wiliams, na kulia,a liyesimama ni Mkurugenzi wa shikika hilo nchini Bi.Andrea Wojnar Diagne. Shirika la Peace Corps lilianzishwa mnamo Tarehe moja Machi mwaka 1961 na aliyekuwa Rais wa Marekani hayati John F.Kennedy. Hapa nchini jumla ya wanachama 2100 wa shirika hilo walitoa huduma mbalimbali kuanzia mwaka 1961 katika sekta za Elimu, Utunzaji waMazingira na afya. Kwasasa jumla ya wanachama 140 wa shirika hilo wanafanya kazi za kujitolea katika sehemu mbalimbali nchini wakifundisha masomo ya Sayansi,Hesabu na lugha ya kiingereza. (Picha: Freddy Maro)

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.