Skip to main content

Ufaransa yaimarisha ulinzi na usalama



Frankreich Attentat auf Polizist bei Paris / Polizisten sichern Tatort ab
Ufaransa imesema mtu mwenye itikadi kali aliewahi kutiwa hatiani huko nyuma, na ambaye alimuua afisa wa polisi na mke wake katika shambulizi la kisu alikuwa akitekeleza wito wa kiongozi wa Dola la Kiislamu, IS.
Maafisa nchini Ufaransa wanasema kwamba mtu mwenye itikadi kali aliewahi kutiwa hatiani huko nyuma, na ambaye alimuua afisa wa polisi na mke wake katika shambulizi la kisu lililohamasisha na kundi la Dola la Kiislamu, alikuwa amebeba orodha ya walengwa mashuhuri wa mashambulizi, na kuwahimiza wafuasi kuyageuza mashindano ya Euro 2016 kuwa "makaburi."
Shambulio la siku ya Jumatatu katika mji mdogo kaskazini magharibi mwa Paris ni la kwanza tangu kutokea kwa mashambulizi yaliyotekelezwa na IS mwezi Novemba na kuua watu 130.
Kufuatia mashambulizi hayo ya kitongoji cha Magnanville, polisi wanasema maafisa wake sasa watapaswa kubeba silaha wakati wakiwa nje ya majukumu ya kazi kwa ajili ya tahadhari inayoweza kujitokeza.
Katika shambulio la usiku wa Jumatatu, mshambuliaji Larossi Abballa aliyekuwa akifuatiliwa baada ya kutumikia kwa muda na wanajihadi, aliwaua kwa kuwachoma kwa kisu kamanda wa polisi Jean-Baptiste na mke wake nje ya nyumba yao.
Walengwa wa shambulio
Mwendesha mashitaka wa Paris Francois Molins amesema kwamba Abballa anayetoka kitongoji cha jirani cha Monte-la-Jolie aliwaambia polisi kuwa "muuaji alisema kwamba yeye ni Muislamu na alikuwa akitimiza Ramadhan, alisema kuwa alikuwa amekula kiapo cha utii kwa kamanda wa IS Abu Bakr al-Baghdad wiki tatu zilizopita. Aliongeza kwa kusema alitekeleza wito wa kiongozi huyo na namnukuu,waue makafiri nyumbani kwao na familia zao." amesema Molins.
Dola la Kiislamu IS limedai kuhusika na shambulio hilo la Jumatatu katika taarifa iliyorushwa na shirika la habari la Amaq ambalo hutoa matangazo ya kundi hilo mara kwa mara.
Polisi wanasema kwamba waliokota orodha katika eneo la tukio yenye majina ya polisi na wageni mashuhuri wakiwemo waandishi na wasanii kama walengwa wa mashambulizi. Pia waligundua visu vitatu kimoja kikiwa katika lindi la damu.
Tayari washirika watatu wa Abballa wamekamatwa wakihusishwa na shambulio hilo, mmoja wao aliwahi kutiwa hatiani mwaka 2013 kwa kujihusisha na mtandao wa kusajili wapiganaji wa jihadi nchini Pakistan.
Ulinzi waimarishwa
Wakati huo huo, polisi nchini Ufaransa wanazidi kuimarisha kikosi chao cha usalama kwa kupeleka askari zaidi kaskazini mwa nchi hiyo pamoja na kupanua marufuku ya pombe katika jitihada za kudhibiti vurugu zaidi kutokea katika mashindano ya soka barani Ulaya yanayoendelea nchini humo.
Mamlaka bado zina wasiwasi na mashabiki wa Urusi na wale wa Uingereza, waakti ambapo Uingereza itacheza dhidi ya Wales siku ya alhamis wakati Urusi ikimenyana na Slovakia.
Mjini Lille maduka yamelazimika kuacha kuuza pombe kwa saa zipatazo 60 kuanzia Jumanne hadi Ijumaa huku baa na migahawa ikitakiwa kufungwa usiku.
Zaidi ya wafanyakazi 2500 wa usalama wakiwemo askari polisi na wanajeshi wamemwagwa katika mji huo kama sehemu ya tahadhari ikiwa patatokea vurugu zingine.DW

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...