Skip to main content

Ufaransa yaimarisha ulinzi na usalama Thursday, 16 June 2016 Published in Jamii Read: 33 times Be the first to comment! Frankreich Attentat auf Polizist bei Paris / Polizisten sichern Tatort ab Ufaransa imesema mtu mwenye itikadi kali aliewahi kutiwa hatiani huko nyuma, na ambaye alimuua afisa wa polisi na mke wake katika shambulizi la kisu alikuwa akitekeleza wito wa kiongozi wa Dola la Kiislamu, IS. Maafisa nchini Ufaransa wanasema kwamba mtu mwenye itikadi kali aliewahi kutiwa hatiani huko nyuma, na ambaye alimuua afisa wa polisi na mke wake katika shambulizi la kisu lililohamasisha na kundi la Dola la Kiislamu, alikuwa amebeba orodha ya walengwa mashuhuri wa mashambulizi, na kuwahimiza wafuasi kuyageuza mashindano ya Euro 2016 kuwa "makaburi." Shambulio la siku ya Jumatatu katika mji mdogo kaskazini magharibi mwa Paris ni la kwanza tangu kutokea kwa mashambulizi yaliyotekelezwa na IS mwezi Novemba na kuua watu 130. Kufuatia mashambulizi hayo ya kitongoji cha Magnanville, polisi wanasema maafisa wake sasa watapaswa kubeba silaha wakati wakiwa nje ya majukumu ya kazi kwa ajili ya tahadhari inayoweza kujitokeza. Katika shambulio la usiku wa Jumatatu, mshambuliaji Larossi Abballa aliyekuwa akifuatiliwa baada ya kutumikia kwa muda na wanajihadi, aliwaua kwa kuwachoma kwa kisu kamanda wa polisi Jean-Baptiste na mke wake nje ya nyumba yao. Walengwa wa shambulio Mwendesha mashitaka wa Paris Francois Molins amesema kwamba Abballa anayetoka kitongoji cha jirani cha Monte-la-Jolie aliwaambia polisi kuwa "muuaji alisema kwamba yeye ni Muislamu na alikuwa akitimiza Ramadhan, alisema kuwa alikuwa amekula kiapo cha utii kwa kamanda wa IS Abu Bakr al-Baghdad wiki tatu zilizopita. Aliongeza kwa kusema alitekeleza wito wa kiongozi huyo na namnukuu,waue makafiri nyumbani kwao na familia zao." amesema Molins. Dola la Kiislamu IS limedai kuhusika na shambulio hilo la Jumatatu katika taarifa iliyorushwa na shirika la habari la Amaq ambalo hutoa matangazo ya kundi hilo mara kwa mara. Polisi wanasema kwamba waliokota orodha katika eneo la tukio yenye majina ya polisi na wageni mashuhuri wakiwemo waandishi na wasanii kama walengwa wa mashambulizi. Pia waligundua visu vitatu kimoja kikiwa katika lindi la damu. Tayari washirika watatu wa Abballa wamekamatwa wakihusishwa na shambulio hilo, mmoja wao aliwahi kutiwa hatiani mwaka 2013 kwa kujihusisha na mtandao wa kusajili wapiganaji wa jihadi nchini Pakistan. Ulinzi waimarishwa Wakati huo huo, polisi nchini Ufaransa wanazidi kuimarisha kikosi chao cha usalama kwa kupeleka askari zaidi kaskazini mwa nchi hiyo pamoja na kupanua marufuku ya pombe katika jitihada za kudhibiti vurugu zaidi kutokea katika mashindano ya soka barani Ulaya yanayoendelea nchini humo. Mamlaka bado zina wasiwasi na mashabiki wa Urusi na wale wa Uingereza, waakti ambapo Uingereza itacheza dhidi ya Wales siku ya alhamis wakati Urusi ikimenyana na Slovakia. Mjini Lille maduka yamelazimika kuacha kuuza pombe kwa saa zipatazo 60 kuanzia Jumanne hadi Ijumaa huku baa na migahawa ikitakiwa kufungwa usiku. Zaidi ya wafanyakazi 2500 wa usalama wakiwemo askari



 


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...