Skip to main content

SIMBA KAENI VIZURI KWA HILI



Salum Telela

Na Baraka Mbolembole

Salum Telela ameshindwa kuzungumzia ‘mustakabali’ wake baada ya kumaliza mkataba wake katika klabu ya Yanga SC. Nahodha huyo wa zamani wa timu za Taifa za vijana na klabu ya Moro United ameshinda mataji mengi katika misimu yake 6 akiwa na timu hiyo iliyomsaini akiwa kinda mwaka 2010 akitokea Moro United.

Nilifanya naye mahojiano mafupi na kikubwa nilitaka kufahamu ni wapi atacheza msimu ujao kufuatia kuwapo kwa habari kuwa anahitajika sana na mahasimu wao Simba SC.

“Nimecheza kwa misimu 6 katika timu hii na nimepata mafanikio makubwa ikiwemo ushindi wa mataji ya ligi kuu (2010/11, 2012/13, 2014/15, 2015/16,) nimeshinda Kagame Cup 2011 na 2012, Ngao ya Jamii 2013, 2014, 2015, pia taji moja la FA.”

“Msimu uliopita kulikuwa na ushindani mkubwa sana lakini niliweza kupambana na kucheza zaidi ya michezo 20. Ukitazama hata uwiano wa mechi kwa wachezaji wa nafasi yangu hazikupishana sana. Nilikuwa na msimu mzuri. Pia nafurahi kufanya kazi na kocha mzuri kama Hans Van der Pluijm na kila mmoja katika benchi la ufundi.”Nilimuuliza, Telela, ni kweli unaondoka Yanga? lakini akajibu kwa namna ya kutohitaji kuzungumzia mambo ya usajili. “Habari hizo naomba tuachane nazo, ni mapema kujadili hayo.”

Telela amekuwa akiwindwa na Simba lakini Yanga wamepanga kukamilisha usajili wake kabla ya kumalizika kwa wiki hii.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.