Skip to main content

SIMBA KAENI VIZURI KWA HILI



Salum Telela

Na Baraka Mbolembole

Salum Telela ameshindwa kuzungumzia ‘mustakabali’ wake baada ya kumaliza mkataba wake katika klabu ya Yanga SC. Nahodha huyo wa zamani wa timu za Taifa za vijana na klabu ya Moro United ameshinda mataji mengi katika misimu yake 6 akiwa na timu hiyo iliyomsaini akiwa kinda mwaka 2010 akitokea Moro United.

Nilifanya naye mahojiano mafupi na kikubwa nilitaka kufahamu ni wapi atacheza msimu ujao kufuatia kuwapo kwa habari kuwa anahitajika sana na mahasimu wao Simba SC.

“Nimecheza kwa misimu 6 katika timu hii na nimepata mafanikio makubwa ikiwemo ushindi wa mataji ya ligi kuu (2010/11, 2012/13, 2014/15, 2015/16,) nimeshinda Kagame Cup 2011 na 2012, Ngao ya Jamii 2013, 2014, 2015, pia taji moja la FA.”

“Msimu uliopita kulikuwa na ushindani mkubwa sana lakini niliweza kupambana na kucheza zaidi ya michezo 20. Ukitazama hata uwiano wa mechi kwa wachezaji wa nafasi yangu hazikupishana sana. Nilikuwa na msimu mzuri. Pia nafurahi kufanya kazi na kocha mzuri kama Hans Van der Pluijm na kila mmoja katika benchi la ufundi.”Nilimuuliza, Telela, ni kweli unaondoka Yanga? lakini akajibu kwa namna ya kutohitaji kuzungumzia mambo ya usajili. “Habari hizo naomba tuachane nazo, ni mapema kujadili hayo.”

Telela amekuwa akiwindwa na Simba lakini Yanga wamepanga kukamilisha usajili wake kabla ya kumalizika kwa wiki hii.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...