Skip to main content

DStv WAONGEZA NGUVU SHOO YA DIAMOND PLATINUM UFUNGUZI WA AFCON NCHINI GABON


dstv-nape
Waziri wa Habari, utamaduni, michezo na sanaa Kushoto,Diamond Platnumz katika pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Multichoice Tanzania bw.Salum Salum.
dstv-nape-6
Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania Shumbana Walwa akiwa anaongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa kumkabidhi Diamond Platnumz bendera ya Tanzania kuelekea katika ufunguzi wa Afcon nchini Gabon.
dstv-nape-3
Meneja Masoko wa Multichoice Tanzania Bw.Alpha Joseph akimkalibisha Kaimu Mkurugenzi Salum Salum katika hafla ya utoaji wa Bendera kwa msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz.
salum
Kaimu Mkurugenzi wa Multichoice Tanzania Bw.Salum Salum akimkaribisha mgeni wa tukio ambaye ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Michezo na Sanaa Mh.Nape Nnauye hayupo pichani.
dstv-nape-1
Waziri wa Habri,Michezo,Utamaduni na Sanaa Mh.Nape Nnauye akiongea na waandishi wa habari wakati wa kumkabidhi Bendera Diamond Platnumz anayekwenda kwenye shoo ya Ufunguzi wa Afcon nchini Gabon.
dstv-nape-8
Msanii Diamond Platnumz akitoa shukruni kwa Serikali na DStv pamoja na waandishi wa habari kwa mchango wao pamoja na kuendelea kumsapoti kupitia kazi zake.
dstv-nape-5
Mh.Nape Nnauye akisalimiana na Msanii Diamond Platinum.
dstv-nape-7
Msanii wa vichekesho nchini Tanzania JOTI ambaye pia ni balozi wa Kifurushi cha DStv Bomba ambacho kitarusha moja kwa moja Michuano ya Afcon akitoa pongezi kwa Kampuni ya Multichoice Tanzania.
dstv-nape-4
Waziri wa Habari,Utamaduni,Michezo na Sanaa Mh.Nape Nnauye katika akiwa na balozi wa kifurushi cha Bomba Joti kulia pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Multichoice Tanzania Bw.Salum Salum kushoto wakiteta jambo.
dstv-nape-11
Baadhi ya Waandishi waliohudhuria tukio hilo wakiwa katika majukumu yao ya kuchukua picha.
dstv-nape-13
Msanii Diamond Platinum akiwa na bendera baada ya kukabidhiwa na Serikali tayari kuelekea kwenye ufunguzi wa Michuano ya Afcon inayoanza Jumamosi ya Januari 14.
dstv-nape-12
Wafanyakazi wa Multichoice Tanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri Nape Nnauye pamoja na Msanii Diamond Platinum.
PICHA NA MO DEWJIBLOG.
Kuelekea katika Ufunguzi wa Michuano ya Kombe la Mataifa barani Afrika ‘AFCON’ Kampuni ya Multichoice Tanzania kupitia Kifurushi cha DStv Bomba imetoa tiketi sita kwa vijana wa Msanii wa Bongo Fleva,Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum kwenda kushuhudia ufunguzi huo.
Ufunguzi huo wa michuano hiyo mikubwa Afrika, inatarajiwa kufanyika Januari 14, mwaka nchini huko ambako Dimaond amealikwa kwenda kutuimbuza.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye alimkabidhi bendera ya taifa, Diamond kwa ajili ya kwenda kuipeperusha vyema Tanzania katika ufunguzi huo.
“Kikuweli nimpongeze Diamond kwa mwaliko alioupata wa kwenda kutumbuiza kwenye michuano mikubwa Afrika ya Afcon, siyo kitu kidogo kwake, ni nafasi ya yeye kujitangaza zaidi kimataifa, ninaamini wapo wasanii wengi wazuri Afrika, lakini kachaguliwa yeye hivyo anastaili pongezi,” alisema Nape.
Nape ndiye aliwaomba DStv kujitokeza na kudhamini safari ya wachezaji shoo wa Diamond na baadhi ya watu wa timu yake kwenda Afcon ili kuhakikisha anafanya shoo ya uhakika zaidi.Akizungumza na Waandishi wa Habari, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa DStv, Salum Salum alisema wametoa tiketi hizo kwa Diamond kwa lengo kukuza na kuendeleza vema tasnia ya filamu.“Tunathamini tasnia ya sanaa nchini kwa kupitia muziki na filamu, hivyo basi katika kutambua hilo tumetoa tiketi sita kwa kundi la WCB chini ya msanii Dimaond kwa ajili ya kwenda kwenye uzunduzi wa Afcon huko Gabon.
“Tumempatia tiketi hizo, baada ya kuomba udhamini wa tiketi hizo kwa ajili ya vijana wake sita atakaombatana nao kwenye shoo hiyo na kikubwa tunataka kuona Diamond anafunika ili atauwakirishe vema,” alisema Salum.DStv, ndiyo itaonyesha michuano hiyo mikubwa ya kimataifa kwa kifurushi chake cha bei cha chini kabisa kitakachopatikana kwa Shilingi 19, 975 tu.(P.T)

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...