Skip to main content

Wanaume watanashati vyuo vikuu watakiwa kujiunga kumsaka Mr.Handsome


Na Mwandishi Wetu


SHIRIKISHO la Ujenzi wa Mwili Tanzania (TBBF) limesema kuwa  limeanza

kuimiza wanafunzi wa vyo vikuu nchini kujiunga na kushiriki katika shindano la

kumsaka Mr.Handsome .


TBBF mara baada ya kuwa imezindua shindano hilo hivi karibuni hivi sasa 
wanafunzi wanaotaka kujiunga kwa  kutumia mtandao wa www.tztbbf.org

nakisha kubonyeza sehemu ya shindano kuchagua sehemu wanayotaka

kushiriki.

Akizungumzia hatua ya shindano hilo mmoja wa wasemaji wa shindano hilo

Fike Wilson  alisema jana kuwa mara baada ya washiriki kuingia katika mtandao

huo washiriki wanatakiwa kuandika jina kamili,Anuani , namba ya simu na

anuani ya barua pepe.

Alisema kama mshiriki atakuwa amefuata maelekezo hayo na kujiandikisha kwa

ufasaha basi baadaya atapokea ujumbe  kwa njiaya barua pepe aliyoitoa hivyo

washiriki wanatakiwa kuhakikisha wametoa anuani sahihi ya barua pepe.

"Washiriki wakati wa kutumia parua pepe watatakiwa kuambatanisha  walau si

chini ya picha nne na zisizidi saba  wakiwa kwenye mikao tofauti wakat

watakapokuwa wanatumia kitufe cha kujiandikisha,"alisema Fike.


Fike alisema  kuwa mshiriki atajiunga kwa kuingia katika mtandao wao  

www.tztbbf.org kujiunga atalipia pesa ajili ya chahuo lake  imwe ni shindano la 

Mr.Handsome ,Mr.Photogenic au Mr .Tanzania kwani shindano lolote lile

atakalochagua atalipia kupitia tigo pesa , Mpesa aku kupitia benki kwa namba 

na vielelezo vilivyo tolewa nakuwa mtumiaji atapokea namba na vielelezo

vilivyo tolewa.

Aidha alisema TBBF ikishirikiana na Pili Pili Entertainment LTD  ndio

waandaaji wa  mashindano ya Mr Tanzania kwa mwaka 2017 ambapo

mashindano ya Mr. Tanzania yatawakutanisha  watunisha misuli wote wa

Taznania bara na visiwani pamoja kwa ajili ya shindano hilo  lenye hadhi kubwa

nchini .

Pia alisema kilele cha fainali za mashindano haya kitafanyika siku ya june 30

mwakani 2017 jijini Dar es salaam , ambapo  mshindi wa shindano la Mr.

Tanzania atawakilisha nchi kwenye mashindano ya Mr Africa , Mr Universe na

Mr  World  Novemba 2017.


Msemaji huyo ambaye pia yupo ndani ya dawati la ufundi la mchezo huo ,

alisema Kwa mara ya kwanza tangu kuazishwa kwa mashindano miaka ya tisini,

wajenga mwili watajiunga na kujiandkisha kupitia Gym na vilabu vya mazoezi

ya viungo tu kwa wanaoshindania taji la kimataifa la Mr. Tanzania.

Fike alisema uhamuzi huo umefanywa na kamati ya mashindano ya TBBF ili

kukuza na kuziwezesha utamaduni wa kufanya mazoezi ya Gym Tanzania.

Vigezo vya Mr Tanzania vitafanana vya vile vinavyotumika kwa Mr Afrika, Mr

World na Mr. Universe.





TBBF imesema imeanza kuingia katika vyo vikuu nchini katika kuwapa

maelezo wanafunzi wanaotaka kuwa Mr.Handsome ambapo tayari wao kama

waandaaji wameanza kugawa katika vio hivyo vipeperushi vinavyoonesha

namna ya kujionga shindano hilo.

Mwishoo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...