Skip to main content

Wanaume watanashati vyuo vikuu watakiwa kujiunga kumsaka Mr.Handsome


Na Mwandishi Wetu


SHIRIKISHO la Ujenzi wa Mwili Tanzania (TBBF) limesema kuwa  limeanza

kuimiza wanafunzi wa vyo vikuu nchini kujiunga na kushiriki katika shindano la

kumsaka Mr.Handsome .


TBBF mara baada ya kuwa imezindua shindano hilo hivi karibuni hivi sasa 
wanafunzi wanaotaka kujiunga kwa  kutumia mtandao wa www.tztbbf.org

nakisha kubonyeza sehemu ya shindano kuchagua sehemu wanayotaka

kushiriki.

Akizungumzia hatua ya shindano hilo mmoja wa wasemaji wa shindano hilo

Fike Wilson  alisema jana kuwa mara baada ya washiriki kuingia katika mtandao

huo washiriki wanatakiwa kuandika jina kamili,Anuani , namba ya simu na

anuani ya barua pepe.

Alisema kama mshiriki atakuwa amefuata maelekezo hayo na kujiandikisha kwa

ufasaha basi baadaya atapokea ujumbe  kwa njiaya barua pepe aliyoitoa hivyo

washiriki wanatakiwa kuhakikisha wametoa anuani sahihi ya barua pepe.

"Washiriki wakati wa kutumia parua pepe watatakiwa kuambatanisha  walau si

chini ya picha nne na zisizidi saba  wakiwa kwenye mikao tofauti wakat

watakapokuwa wanatumia kitufe cha kujiandikisha,"alisema Fike.


Fike alisema  kuwa mshiriki atajiunga kwa kuingia katika mtandao wao  

www.tztbbf.org kujiunga atalipia pesa ajili ya chahuo lake  imwe ni shindano la 

Mr.Handsome ,Mr.Photogenic au Mr .Tanzania kwani shindano lolote lile

atakalochagua atalipia kupitia tigo pesa , Mpesa aku kupitia benki kwa namba 

na vielelezo vilivyo tolewa nakuwa mtumiaji atapokea namba na vielelezo

vilivyo tolewa.

Aidha alisema TBBF ikishirikiana na Pili Pili Entertainment LTD  ndio

waandaaji wa  mashindano ya Mr Tanzania kwa mwaka 2017 ambapo

mashindano ya Mr. Tanzania yatawakutanisha  watunisha misuli wote wa

Taznania bara na visiwani pamoja kwa ajili ya shindano hilo  lenye hadhi kubwa

nchini .

Pia alisema kilele cha fainali za mashindano haya kitafanyika siku ya june 30

mwakani 2017 jijini Dar es salaam , ambapo  mshindi wa shindano la Mr.

Tanzania atawakilisha nchi kwenye mashindano ya Mr Africa , Mr Universe na

Mr  World  Novemba 2017.


Msemaji huyo ambaye pia yupo ndani ya dawati la ufundi la mchezo huo ,

alisema Kwa mara ya kwanza tangu kuazishwa kwa mashindano miaka ya tisini,

wajenga mwili watajiunga na kujiandkisha kupitia Gym na vilabu vya mazoezi

ya viungo tu kwa wanaoshindania taji la kimataifa la Mr. Tanzania.

Fike alisema uhamuzi huo umefanywa na kamati ya mashindano ya TBBF ili

kukuza na kuziwezesha utamaduni wa kufanya mazoezi ya Gym Tanzania.

Vigezo vya Mr Tanzania vitafanana vya vile vinavyotumika kwa Mr Afrika, Mr

World na Mr. Universe.





TBBF imesema imeanza kuingia katika vyo vikuu nchini katika kuwapa

maelezo wanafunzi wanaotaka kuwa Mr.Handsome ambapo tayari wao kama

waandaaji wameanza kugawa katika vio hivyo vipeperushi vinavyoonesha

namna ya kujionga shindano hilo.

Mwishoo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.