Skip to main content

0PERETIONI KAMATA SUKARI ...

Mkuu wa Kituo cha poliosi Himo Afande Majura( Kushoto) akimuonyesha Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh Lazaro Nyalanmdu na Mbunge wa Vunjo Mh Mrema baadhi ya magari yaliyokamatwa yakiwa na bidhaa mbali mbali za magendo ikiwemo sukari.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh Lazaro Nyalandu akitoa maagizo kwa watendaji wa mamlaka mbali za serikali katika Mji mdogo wa Himo mara baada ya kukamilisha ziara yake ya kutembelea na kukagua masoko na vituo vya Biashara mipakani katika Mkoa wa Kilimanjaro.
----


Kiasi hicho kikubwa cha sukari kimekamatwa katika maeneo mbali mbali ya mpaka wa Tanzania na Kenya na kuhifadhiwa katika ghala la polisi kituo cha Himo, ikiwa ni mwendelezo utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda aliezitaka Mamlaka zote za ulinzi na Usalama nchini kuhakikisha kuwa, bidhaa hiyo haivuki mipaka ya ili kukabiliana na uhaba mkubwa wa bidhaa hiyo hapa nchini.

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh Lazaro Nyalandu akiwa katika ziara ya kutembelea masoko na vituo vya biashara mipakani, amefika katika eneo la Himo na kushuhudia kiasi hicho kikubwa cha sukari huku Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mh Augustino Lyatonga Mrema akiiomba serikali kutoa agizo la kuzitaka Mamlaka husika kuwauzia wananchi bidhaa hiyo mara moja bila kusubiri taratibu zinazotumia muda mrefu huku wananchi wakiendelea kuteseka kwa kukosa bidhaa hiyo muhimu.



Kwa upande wake Mbunge wa Vunjo Mh Augustino Mrema amesema, uhaba wa sukari nchini unatokana na bei nzuri ya bidhaa hiyo katika nchi za jirani hali inayowavutia wafanyabiashara wenye tamaa kupeleka bidhaa hiyo katika nchi za Kenya na Uganda.
“ Sukari ya Tanzania inauzwa nchini Kenya kwa bei mara mbili zaidi ya hapa nchini. Miji yetu ya mipakani ina njia za panya lukuki huku vyombo vyetu vya ulinzi na usala vikiwa na watendaji wachachache na vitendea kazi duni. Ninaiomba serikali kuzipa uwezo mamlaka zake ili ziweze kufanya kazi kwa ufanisi, ninaomba pia sukari ilioyokamatwa iuzwe mara moja kwa wananchi na askari au raia walifanikisha kukamatwa kwa bidhaa hizi wapewe motisha ya asilimia kumi ya kile walichokamata. Tukifanya hivi, biashara zote za magendo mipakani zitakoma.”

Naye Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mussa Samizi aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, ameahidi kuongeza nguvu katika operesheni hiyo na kuwaomba wananchi kuvisaidia vyombo vya dola katika zoezi hilo kwa kutoa taarifa sahihi mara wanapoona vitendo hivyo vya kuvusha sukari na bidhaa nyingine hasa kastika njia za panya ambazo haziwezi kufikiwa na vyombo vya dola kwa urahisi.
Katika hatua nyingine, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh Lazaro Nyalandu, amewata Watanzania kushindana kikamilifu na majirani zetu katika kutumia vyema fursa za kibiashara zilizoko katika maeneo ya mipaka ya nchi yetu na nchi jirani.

Akizungumza na Viongozi na watendaji mbali mbali wa serikali wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mh Nyalandu amesema hadi sasa, ni watanzania wachache sana wanaofanya biashara zenye tija katika masoko na vituo vya biashara mipakani.

“Masoko yetu yamejaa bidhaa za wageni kwa zaidi ya asilimia 70 huku sisi tukiambulia asilimia 30 na bidhaa zetu tunazowauzia nyingi ni bidhaa ghafi, baada ya muda mfupi wenzetu wanaziongeza thamani na kutuuzia tena kwa bei ya juu. Lazima tuchukue hatua, tufanye kama wao, tuwapelekee bidhaa mpaka nchini mwao, tujenge masoko na mifumo thabiti itakayowavutia kuja nchini na kufanya biashara ki halali, nchi ipate kodi, wao wafaidike na sisi tufaidike pia.”

Ziara ya Mh Nyalandu kutembelea masoko na vituo vya biashara mipakani ilianzia katika Mpaka wa Tanzania na Kenya katika Mji wa Namanga ikiwa na lengo la kutembelea maeneo hayo kote nchini. Baada ya kutembelea vituo vya Himo na Holili, msafara wa Naibu Waziri utatembelea kituo cha Horohoro Mkoani Tanga kabla ya kuhamia kanda ya Ziwa.

Ziara ya ghafla ya Viongozi hao ilivutia umati mkubwa wa wananchi na wafanyabiashara wa maeneo ya Himo na Holili hali iliyolawalazimu viongozi hao kuzungumza na wananchi. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh Lazaro Nyalandu, akalipongeza Jeshi la Polisi na Mamlaka za Usalama katika Miji ya Mpakani ya Himo na Holili kwa jitihada kubwa ya kupambana na biashara za magendo katika eneo hilo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...