Skip to main content

Vurugu za maandamano ya CHADEMA Zilizo tawala Arusha,






Wanachama na wapenzi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa mji wa Arusha wakiwa wameshika mabango katika maandamano hayo kabla ya wanausalama kuanza kuzuia maandanayo hayo.

Comments