Skip to main content

Pata Ukali wa Mitikisiko ya Pwani


Kwa mara nyingine tena Times radio fm imeandaa Tamasha la Mitikisiko ya Pwani lenye kauli mbiu isemayo “MITIKISIKO YA PWANI 2010 NI ZAIDI YA BURUDANI”

Mitikisiko ya Pwani - Burudani ya Taarabu ilianzishwa miaka mitatu iliyopita na hadi sasa imeendelea kuvutia wapenzi wengi wa muziki wa Taarabu, na utamaduni wa pwani na hivyo kuwa tukio maarufu hapa Tanzania hususan Dar es salaam.

Mwaka jana Mitikisiko ya Pwani ilifanyika kwenye ukumbi wa PTA Sabasaba ikiwa na lengo la kuvitambulisha na kuzisaidia bendi bora za muziki wa Taarabu Jijini Dar Es Salaam huku likihudhuriwa na maelfu ya watu.

Burudani ya Mitikisiko ya Pwani mwaka huu ina madhumuni ya kusaidia jamii na pia kutoa burudani kwa wapenzi wa Taarabu na Watanzania kwa ujumla.

Tamasha hili litakuwa nafasi kubwa ya wapenzi wa muziki wa Taarabu kusikiliza, kuangalia na kucheza tungo bora kutoka kwa bendi zote mahili za Taarabu nchini.

Zawadi kadhaa zitatolewa kwenye Tamasha hilo ikiwa pamoja na zawadi kutoka kwa wadhamini wetu, oryx wauzaji wa mafuta, gesi na majiko ya gesi nchini pamoja na fedha taslimu ambazo zitachukuliwa na wapenzi wa Taarabu huku watu mia moja wa kwanza watajipatia t-shirts.

Mpaka sasa ni bendi tisa ambazo zimethibitisha kushiriki katika tamasha hilo ambalo litafanyika 03/12/2010 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee huku likimshirikisha msanii mkongwe wa Taarabu, Bi kitude ambaye pia mbali na kutumbuiza atakabidhiwa Tuzo ya Heshima kulingana na Mchango wake wa muziki kwa muda mrefu.

Bendi hizo ni pamoja na:

1) Coastal Modern Taarab
2) Dar Modern Taarab
3) East African Melody
4) Five Star Modern Taarab
5) Jahazi Modern Taarab
6) New Zanzibar Modern Taarab
7) Super Shine Modern Taarab
8) Tandale Modern Taarab
9) TOT Taarab

Tunawashukuru Mazula,Public Relation officer ,100.5. Times Radio fm

+255713412872
+255787412872

sana wadhamini wetu ambao ni ORYX, wauzaji wa mafuta, gesi na majiko ya gesi nchini, Tigo, Regency Hotel, PSI, ICV Security Company, Malaika Beach Resort, Zizou Fashion, Dida classic boutique, Jolyety Saloon.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.