
MDUARA kwa sasa mambo yake yapo juu ilembaya mashabiki wa burudani uonesha furaha tele
mara tu djs wanapokuwa wakicheza truck katika mirindimo hiyo , hawa ni wapenzi wa la Flava Nite wakiwa wamejiachia kinamna hiyo katika ukumbi wa Mzalendo Pub katika jengo la Millenium Tower Jijini Dar es Salaam.
Comments