Skip to main content

Serilikali kununua mtambo wa kutibu kansa ya mionzi wenye thamani ya Shilingi billion 14.5

SERIKALI kununua mtambo wa kutibu kansa ya mionzi wenye thamani ya Shilingi
billion 14.5, hayo yamesemwa jana na Naibu waziri wa Afya Dakt Khamis Kigwangala
 alipokuwa akifungua mafunzo ya kansa ya mionzi katika Taasis ya Saratani 
(Ocean Road Hospital) jijini Dar es Salaam.

Kigwangala amezungumza hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari mara 
baada ya kufunguliwa mafunzo hayo ya wiki moja yanayofanyika nchini.

“Kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wa saratani nchini kuzidi kuongezeka,serikali katika bajeti yake yamwaka 2017/18 imetenga kiasi hicho cha fedha katika kukabiliana na magonjwa ya kansa.
Mtambo huo wenye uwezo wakugundua kila aina ya kansa ,kwasasa upo Afrika ya
Kusini pekee katika bara la Afrika hivyo endapo Tanzania itanunua mtambo huo 
itaokoa maisha ya watu wengi sana.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Ocean Road Dakt Julius 
Mwaiselage amesema miongoni mwa kansa inayongoza Tanzania ni ile saratani 
ya mfuko wa uzazi kwa asilimia 40 ikifuatiwa na saratani ya matiti kwa asilimia 
kumi.

Hata hivyo amesema ongezeko kubwa la saratani nchini husababishwa na watu 
kubadirisha mfumo wa maisha hususani kutokuzingatia mazoezi pamoja na ulaji 
usiofaa(mbovu).

Dakt Mwaiselage amesema ,Watanzania walio wengi hawana tabia yakupima afya 
mara kwa mara kwani hufikishwa kituoni hapo kansa ikiwa katika kiwango cha 
juu sana ambapo uwezekano wakupona unakuwa mdogo sana.
Kwa mujibu wa Dakta Mwaiselage takribani watu elfu arobaini hugundulika kuwa 
na ugonjwa wa kansa na kati ya hao watu wapatao 30,000 hufa kwa mwaka hii yote 
husababishwa nakutokuwahi tiba ya ugonjwa huo.

Mafunzo hayo yakubadirishana uzoefu katika maswala ya kansa  umeweza 
kuwakutanisha matabibu mbali mbali kutoka nchi za bara la Afrika ikiwemo,
Siera Leon,Namibia,Tanzania,Kenya,Afrika ya kusini na visiwa vya Comoro,
Shelisheli na Madagasca.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.