Skip to main content

Serilikali kununua mtambo wa kutibu kansa ya mionzi wenye thamani ya Shilingi billion 14.5

SERIKALI kununua mtambo wa kutibu kansa ya mionzi wenye thamani ya Shilingi
billion 14.5, hayo yamesemwa jana na Naibu waziri wa Afya Dakt Khamis Kigwangala
 alipokuwa akifungua mafunzo ya kansa ya mionzi katika Taasis ya Saratani 
(Ocean Road Hospital) jijini Dar es Salaam.

Kigwangala amezungumza hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari mara 
baada ya kufunguliwa mafunzo hayo ya wiki moja yanayofanyika nchini.

“Kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wa saratani nchini kuzidi kuongezeka,serikali katika bajeti yake yamwaka 2017/18 imetenga kiasi hicho cha fedha katika kukabiliana na magonjwa ya kansa.
Mtambo huo wenye uwezo wakugundua kila aina ya kansa ,kwasasa upo Afrika ya
Kusini pekee katika bara la Afrika hivyo endapo Tanzania itanunua mtambo huo 
itaokoa maisha ya watu wengi sana.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Ocean Road Dakt Julius 
Mwaiselage amesema miongoni mwa kansa inayongoza Tanzania ni ile saratani 
ya mfuko wa uzazi kwa asilimia 40 ikifuatiwa na saratani ya matiti kwa asilimia 
kumi.

Hata hivyo amesema ongezeko kubwa la saratani nchini husababishwa na watu 
kubadirisha mfumo wa maisha hususani kutokuzingatia mazoezi pamoja na ulaji 
usiofaa(mbovu).

Dakt Mwaiselage amesema ,Watanzania walio wengi hawana tabia yakupima afya 
mara kwa mara kwani hufikishwa kituoni hapo kansa ikiwa katika kiwango cha 
juu sana ambapo uwezekano wakupona unakuwa mdogo sana.
Kwa mujibu wa Dakta Mwaiselage takribani watu elfu arobaini hugundulika kuwa 
na ugonjwa wa kansa na kati ya hao watu wapatao 30,000 hufa kwa mwaka hii yote 
husababishwa nakutokuwahi tiba ya ugonjwa huo.

Mafunzo hayo yakubadirishana uzoefu katika maswala ya kansa  umeweza 
kuwakutanisha matabibu mbali mbali kutoka nchi za bara la Afrika ikiwemo,
Siera Leon,Namibia,Tanzania,Kenya,Afrika ya kusini na visiwa vya Comoro,
Shelisheli na Madagasca.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...