Skip to main content

Serilikali kununua mtambo wa kutibu kansa ya mionzi wenye thamani ya Shilingi billion 14.5

SERIKALI kununua mtambo wa kutibu kansa ya mionzi wenye thamani ya Shilingi
billion 14.5, hayo yamesemwa jana na Naibu waziri wa Afya Dakt Khamis Kigwangala
 alipokuwa akifungua mafunzo ya kansa ya mionzi katika Taasis ya Saratani 
(Ocean Road Hospital) jijini Dar es Salaam.

Kigwangala amezungumza hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari mara 
baada ya kufunguliwa mafunzo hayo ya wiki moja yanayofanyika nchini.

“Kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wa saratani nchini kuzidi kuongezeka,serikali katika bajeti yake yamwaka 2017/18 imetenga kiasi hicho cha fedha katika kukabiliana na magonjwa ya kansa.
Mtambo huo wenye uwezo wakugundua kila aina ya kansa ,kwasasa upo Afrika ya
Kusini pekee katika bara la Afrika hivyo endapo Tanzania itanunua mtambo huo 
itaokoa maisha ya watu wengi sana.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Ocean Road Dakt Julius 
Mwaiselage amesema miongoni mwa kansa inayongoza Tanzania ni ile saratani 
ya mfuko wa uzazi kwa asilimia 40 ikifuatiwa na saratani ya matiti kwa asilimia 
kumi.

Hata hivyo amesema ongezeko kubwa la saratani nchini husababishwa na watu 
kubadirisha mfumo wa maisha hususani kutokuzingatia mazoezi pamoja na ulaji 
usiofaa(mbovu).

Dakt Mwaiselage amesema ,Watanzania walio wengi hawana tabia yakupima afya 
mara kwa mara kwani hufikishwa kituoni hapo kansa ikiwa katika kiwango cha 
juu sana ambapo uwezekano wakupona unakuwa mdogo sana.
Kwa mujibu wa Dakta Mwaiselage takribani watu elfu arobaini hugundulika kuwa 
na ugonjwa wa kansa na kati ya hao watu wapatao 30,000 hufa kwa mwaka hii yote 
husababishwa nakutokuwahi tiba ya ugonjwa huo.

Mafunzo hayo yakubadirishana uzoefu katika maswala ya kansa  umeweza 
kuwakutanisha matabibu mbali mbali kutoka nchi za bara la Afrika ikiwemo,
Siera Leon,Namibia,Tanzania,Kenya,Afrika ya kusini na visiwa vya Comoro,
Shelisheli na Madagasca.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...