Skip to main content

Barcelona wapiga hodi Arsenal

Klabu ya Barcelona inamuona Mesut Ozil kama mrithi wa Andre Iniesta na wanaweza kujaribu kumsajili kwa £53m endapo watashindwa kumsajili Phellipe Coutinho kutoka Liverpool.


Kelechi Iheanacho tayari anafanyiwa vipimo vya afya katika timu ya Leicester tayari kwa kujiunga nao, usajili wa Iheanacho umeigharimu Leicester City kiasi cha £25m na atatambulishwa rasmi ndani ya saa 24 zijazo.
Wakati Iheanacho anajiunga na klabu ya Leicester City, kiungo wa Manchester City Fernando naye yuko njiani kuondoka City huku yeye akielekea nchini Uturuki kukipiga katika klabu ya Galatasaray.
Kiungo wa klabu ya Everton Ross Barkley itambidi kukubali kupunguziwa kiasi cha mshahara kama yuko tayari kwenda Tottenham, Tot hawako tayari kumlipa Barkley £120,000 kwa wiki kama anavyotaka.
Pamoja na Carlo Ancelotti kusisitiza Renato Sanchez hauzwi lakini kocha wa Liverpool Jurgen Klopp atajaribu kuishawishi Bayern kuwauzia kinda huyo endapo Coutinho atahamia Barcelona.
Kiungo wa Manchester United Marouane Fellaini ameamua kuangalia kwanza nafasi yake ndani ya klabu hiyo lakini atatoa maamuzi kuhusu anapokwenda itakapofika mwezi January mwakani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.