Skip to main content

Ligi Kuu Uingereza, Leicester yang’ang’ania kileleni


Leonardo Ulloa aliipatia ushindi Leicester dakika ya 89 ya mchezo dhidi ya Norwich City
Leonardo Ulloa aliipatia ushindi Leicester dakika ya 89 ya mchezo dhidi ya Norwich City
Ligi Kuu Uingereza imeendelea siku ya Jumamosi kwa kuwa na michezo sita ambapo vinara Leicester City iliendelea kujiimarisha kileleni baada ya kuifunga Norwich 1-0 katika dimba la King Power.
Nao mabingwa watetezi Chelsea waliibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Southampton katika Uwanja wa St. Mary.
Leonardo Ulloa alishindwa kuficha furaha yake baada ya kuipatia ushindi Leicester City
Leonardo Ulloa alishindwa kuficha furaha yake baada ya kuipatia ushindi Leicester City
Matokeo mengine ni kama ifuatavyo;
Jumamosi 27 Februari 2016
West Ham 1 – 0 Sunderland
Leicester 1 – 0 Norwich
Southampton 1 – 2 Chelsea
Stoke 2 – 1 Aston Villa
Watford 0 – 0 Bournemouth
West Brom 3 – 2 Crystal Palace
Jumapili 28 Februari 2016
Liverpool v Everton 15:00
Newcastle v Man City 15:00
Man Utd v Arsenal 17:05
Tottenham v Swansea 17:05
Muda wote ni kwa saa za Afrika Mashariki

Comments