Skip to main content

DR KB TUKIDISIKASI KUTOKA NYUMBANI KWAO

kimali Benedictor ama 'Dr KB' ni miongoni mwa wasanii waliowai kurekodikazi za zao katika studio za jijini Dar es Salaam, japokuwa mvuto wa sanaa ya Mwanza miaka ya nyuma katika ukanda wa Jiji hilo, ulikuwa mgumu kwa msanii kurekodikatika studio nzuri ambazo zilikuwa zikipatikana Dar es Salaam tu ,miamba ya nyuma kabla yake ilisha wahi pia kutia timu mwanzoni miaka ya nyuma japokuwa walikuwa wasanii wachache sana tofauti na sasa, WAMEWEZA HATA KUJA NA KUKETI JIJINI DAR .

Mtazamo mkubwa wa Dr K B , alitaka kufanya ushindani kuinua wasanii wasiweze kudhulumiwakatika ukanda huo , japokuwa jicho lake hilo lilitiliwa dosali mara kadhaa.
Aliwai kuandaa tuzo kupitia Kampuni ya Gloryhood Music Award march 2001.
Ukujicho la uandaaji muzima Ikiwa imeandaliwa na Mkurugenzi wake John Kuinegeja ,kupitia mlolongo huo, tuzo kibao katika namna tofauti zilitolewa kwa wasanii wamwanzahua nakumbuka sana Mimi Machibya tuzo hizo kwani nilichukua tuzo iliyogawiwa kwa Msaniinguli wa Kwana mwanza kufanya albamu Dar es Salaam akitokea mwanza KING KIFF NIGGA, ambapo nguli huyo alipata tuzo ya msanii Bora wa zamani.
Pia, kundi ililo tikisa na kukaa katika chati za Redio One baadaye kupitia nyimbo kumi bora katikakwewnye chati ya Radha kumi zabongo , kwa muda wa wiki tiza mfululizo na kuogopwa kupitia track ya Mwanza zilekebishe Bara Bara ,Kundi hilo lililoitwa B.W.V nalo lilijichukulia moja ya tuzomuhimu siku hiyo.
Pia Dr KB alipata tuzo yenye maelezo haya , This Certficate of merit is awarded to : KBFor HIP HOP ALBAM BORA , THE CULTURE OFFICER MWANZA CITY COUNCIL.
Mambo Kawaida ilikuwa ndio sooo ilembaya ndio albamu iliyopelekea kuchukua tuzo hiyo yaDr KB
Kwa sasa Dr KB ni moja ya wanajamii bora kabisa kwani licha ya kuwa msanii vilevile nimwenye familiaana mke na mtoto mmoja, Blog hii ilifanya nae maongezi kutokea maskani yake uko nyumbani kwaomtaa wa Unguja jijini Mwanza na tulipiga story nyingi kwani ni muda nilikuwa sijaonana nae toka nije Dar katika majukumu ya kimaisha , nani ilimuona mtoto na mkewe kweli ni mtu anayefurahia kuwa na familia na muonekano walivyonipokea ulikuwawa maongezi ya kiutu uzima niliipenda hali hiyo.Tutaendelea nayo Inshu hii siku za usoni ii nimekupa nikiduchuuuuu tu mtuwangu.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.