Skip to main content

DR KB TUKIDISIKASI KUTOKA NYUMBANI KWAO

kimali Benedictor ama 'Dr KB' ni miongoni mwa wasanii waliowai kurekodikazi za zao katika studio za jijini Dar es Salaam, japokuwa mvuto wa sanaa ya Mwanza miaka ya nyuma katika ukanda wa Jiji hilo, ulikuwa mgumu kwa msanii kurekodikatika studio nzuri ambazo zilikuwa zikipatikana Dar es Salaam tu ,miamba ya nyuma kabla yake ilisha wahi pia kutia timu mwanzoni miaka ya nyuma japokuwa walikuwa wasanii wachache sana tofauti na sasa, WAMEWEZA HATA KUJA NA KUKETI JIJINI DAR .

Mtazamo mkubwa wa Dr K B , alitaka kufanya ushindani kuinua wasanii wasiweze kudhulumiwakatika ukanda huo , japokuwa jicho lake hilo lilitiliwa dosali mara kadhaa.
Aliwai kuandaa tuzo kupitia Kampuni ya Gloryhood Music Award march 2001.
Ukujicho la uandaaji muzima Ikiwa imeandaliwa na Mkurugenzi wake John Kuinegeja ,kupitia mlolongo huo, tuzo kibao katika namna tofauti zilitolewa kwa wasanii wamwanzahua nakumbuka sana Mimi Machibya tuzo hizo kwani nilichukua tuzo iliyogawiwa kwa Msaniinguli wa Kwana mwanza kufanya albamu Dar es Salaam akitokea mwanza KING KIFF NIGGA, ambapo nguli huyo alipata tuzo ya msanii Bora wa zamani.
Pia, kundi ililo tikisa na kukaa katika chati za Redio One baadaye kupitia nyimbo kumi bora katikakwewnye chati ya Radha kumi zabongo , kwa muda wa wiki tiza mfululizo na kuogopwa kupitia track ya Mwanza zilekebishe Bara Bara ,Kundi hilo lililoitwa B.W.V nalo lilijichukulia moja ya tuzomuhimu siku hiyo.
Pia Dr KB alipata tuzo yenye maelezo haya , This Certficate of merit is awarded to : KBFor HIP HOP ALBAM BORA , THE CULTURE OFFICER MWANZA CITY COUNCIL.
Mambo Kawaida ilikuwa ndio sooo ilembaya ndio albamu iliyopelekea kuchukua tuzo hiyo yaDr KB
Kwa sasa Dr KB ni moja ya wanajamii bora kabisa kwani licha ya kuwa msanii vilevile nimwenye familiaana mke na mtoto mmoja, Blog hii ilifanya nae maongezi kutokea maskani yake uko nyumbani kwaomtaa wa Unguja jijini Mwanza na tulipiga story nyingi kwani ni muda nilikuwa sijaonana nae toka nije Dar katika majukumu ya kimaisha , nani ilimuona mtoto na mkewe kweli ni mtu anayefurahia kuwa na familia na muonekano walivyonipokea ulikuwawa maongezi ya kiutu uzima niliipenda hali hiyo.Tutaendelea nayo Inshu hii siku za usoni ii nimekupa nikiduchuuuuu tu mtuwangu.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...