Skip to main content

Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA waahidi mabadiliko


media
Vigogo wa NASA kuanzia kulia, Isaac Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila Odinga, Musalia Mudavadi na Moses Wetangula
Wanawake na vijana  nchini humo pia wameahidiwa kupewa nafasi kubwa katika serikali ya NASA na kutobaguliwa.
Pamoja na hilo, vita dhidi ya ukabila, ni mojawpao ya suala ambalo Odinga amesema atalishughulikia kwa kuhakikisha kuwa nafasi ya kazi zinagawanywa kwa usawa ili kuhimiza umoja wa kitaifa.
Baada ya uzinduzi wa ilani ya chama tawala Jubilee na muungano wa NASA, kampeni zinaendelea kama kawaida katika maeneo mengi ya nchi hiyo, kuelekea Uchaguzi Mkuu tarehe nane mwezi Agosti.
Dokta Brian Wanyama, mchambuzi wa siasa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kibabii nchini Kenya, anasema pamoja na kuzinduliwa kwa Ilani hizo, wananchi wengi huenda wasibalishe mitazamo na maamuzi  yao kwa sababu siasa za Kenya zinaegemea ukabila na ukanda.
“Itakuwa vigumu sana kwa Wakenya kubadilisha mitazamo yao kwa sababu za siasa za kikabila,” asema Wanyama.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.