Skip to main content

Kwa wachezaji ni bahati wachezaji kupata bahati ya kushiriki michuano ya olimpiki


BUENOS AIRES, ARGENTINA
Roberto Ayala
SIO wachezaji wote hupata bahati ya kushiriki michuano ya olimpiki katika maisha yao hususani katika mchezo wa kandanda.

Hata hao waliobahatika huweza kutwaa medali mbili tu.
Miongoni mwao ni Muargentina Roberto Fabian Ayala ambaye alifanikiwa kuitumikia timu ya taifa katika michuano iliyofanyika Atlanta, Canada mwaka 1996 na ile ya mwaka 2004 jijini Athens nchini Ugiriki.
Alipewa jina la ‘El Ratón’ na mashabiki  yaani ‘The Mouse’ kifaa kimojawapo katika kompyuta.
Nyota huyo anasimulia namna ambavyo ina maana kwa mchezaji wa kandanda wa kiwango cha Kimataifa anapoitumikia nchi yake katika michuano ya Olimpiki.
Kwa miaka 15 Ayala alikuwa nyota na nembo ya La Albiceleste.
“Unapokuwa mchezaji, ndoto zako na malengo ni kucheza Kombe la Dunia. Lakini michuano ya Olimpiki ni tofauti kabisa unapotaka kucheza cha kwanza kabisa ni pale unapostaajabishwa na wanamichezo wote kukaa katika kijiji kimoja.”
Ayala ambaye amewahi kuhudumu River Plate, Napoli, AC Milan, Real Zaragoza katika nafasi ya ulinzi wa kati anaongeza, “Nilikuja kujua katika olimpiki yangu ya pili nini maana ya kuwa mwanamichezo. Atlanta ulikuwa mji wa tofauti na ulikuwa mbali lakini mwaka 2004 tulipokaa katika kijiji cha olimpiki niliweza kujionea roho za michezo ya ridhaa ilivyo katika eneo hilo. Muulize mchezaji yoyote dunia mahali popote huwa kinatokea nini ukiwa hapo.”
Hatasahau
Mwaka 1996 Nigeria ilizabua Argentina mabao 3-2. “Tulipoteza katika dakika za mwisho, wakati tukitaka kucheza mtego wa offside, tulikosolewa sana kwa aina hiyo ya uchezaji. Tulijiandaa kwa kila hatua na ilikuwa sahihi kuitumia wakati huo,” alisema Ayala na kuongeza.
“Tatizo lilikuwa ni moja tu, mchezaji wetu mmoja alibaki. Tulithubutu kufanya hivyo na ikatugharimu. Nigeria ilikuwa timu nzuri  sijawahi kuona. Hatukuweza kupoteza kwa timu ya zamani. Ilikuwa ikitutesa sana kwa wakati huo, lakini tukaja kutambua kuwa medali na uzoefu ndio vya thamani,” alisema nyota huyo.
Miaka minane baadaye walitua jijini Athens, ambako Argentina ilitua na fasheni iliyowafanya kutwaa medali ya dhahabu. Kwa kufanya hivyo walishinda michezo sita wakitupia wavuni mabao 17 na kuruhusu moja huku wakimtambulisha rasmi mshambuliaji Carlos Tevez ambaye alitunukiwa tuzo ya ‘Fair Play’.
“Tulipoteza fainali ya Copa America, ilitutia uchungu sana. Timu ili haikuruhusu hata bao moja ikicheza kandanda safi. Binafsi ninakumbuka nililia sana baada ya mchezo ule, nilipiga magoti na kumkumbatia Javier Mascherano tulipotwaa medali pale Athens, ilikuwa ni taji kubwa maisha kuwahi kushinda nikiwa na timu ya taifa,” alisema Ayala.
Nyota huyo wa Argentina mwenye miaka 43 ametoa hamasa kwa kikosi cha sasa cha taifa lake kuwa kinapaswa kupambana kupata medali kwani kina kila sifa za kuweza kufanya hivyo.
Ikumbukwe kwamba ni mchezaji ambaye anashikilia rekodi ya kucheza mechi niyingi kuliko mchezaji yeyote mechi 115 na 63 kati ya hizo akiwa ni nahodha wa La Albiceleste.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.