Skip to main content

Mwadini, Kapombe ndani, Boko, Kado njeMonday, 31 October 2011 18:43 0diggsdigg [kocha wa timu ya Taifa,Jan Poulsen] kocha wa timu ya Taifa,Jan Poulsen Sosthnes Nyoni KOCHA wa timu ya taifa, Taifa Stars, Jan Poulsen jana ametangaza rasmi kikosi chake akimuita kwa mara ya kwanza kipa, Mwadini Ally ikiwa uthibitisho sahihi wa mwitikio wa kelele za wadau wa soka nchini waliokuwa wakimpigia debe ajumuishwe. Kipa Ally, anaungana na chipukizi Shomari Kapombe katika orodha ya wachezaji wapya walioitwa na Poulsen tayari kwa mechi dhidi ya Chad. Poulsen alikuwa kwenye wakati mgumu mwanzoni mwa mwezi uliopita alipoamua kuwateua makipa Shabaan Dihile na Shabaan Kado kwenye kikosi chake wakiwa hawana namba katika klabu zao na kumwacha Mwadini ambaye amekuwa na mchango mkubwa kwa timu yake Azam msimu huu. Pia, Stars itaendelea kumkosa nahodha wake Shadrack Nsajigwa anayesumbuliwa na majeruhi yaliyomweka nje ya uwanja kwa zaidi ya wiki tatu sasa. Kikosi cha Stars itaingia kambini rasmi Novemba 3 kujiandaa na mechi ya mchujo ya kuwania kushiriki fainali za Kombe la Dunia dhidi ya Chad itayofanyika Novemba 11 jijini N'Djamena. Poulsen aliwarejesha kundini beki wa kulia wa Yanga, Godfrey Taifa pamoja na mshambuliaji wa TP Mazembe, Thomas Ulimwengu. Kurejea kwa Ulimwengu katika kikosi hicho kumemfanya Mdenmark huyo kumtupia virago kinara wa ufungaji wa Ligi Kuu Tanzania mshambuliaji John Boko. Mshambuliaji huyo wa Azam ameshafunga mabao saba hadi sasa, lakini kiwango kiduni alichoonyesha kwenye mchezo wa kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika 2012 dhidi ya Morocco umesababisha kuachwa. Mbali ya Boko wengi walioachwa kwenye kikosi cha wachezaji 22 ni beki wa Simba, Victor Costa, makipa Shaaban Kado wa Yanga na Shaaban Dihile wa JKT Ruvu, kiungo Jabir Aziz wa Azam. Poulsen aliitaja sababu ya kuwaacha Nsajigwa na Costa kuwa ni kutokana na wachezaji hao kutokuwa timamu kiafya huku akisema nyota wengine amewaaacha kutokana kuporomoka viwango, ufinyu wa nafasi na wengine kukosa nafasi a kucheza kwenye timu zao. "Nimemwacha Nsajigwa na Costa kwa sababu bado hawako fiti kwa asilimia mia, lakini pia kuna suala la kuporomoka, ufinyu wa nafasi na wengine hawapati nafasi kwenye timu zao, kwa mfano Shaaban Kado ni kipa mzuri tu lakini muda mrefu hachezi,"alisema Poulsen. Akizungumzia pambano hilo,Poulsen alisema kuwa litagumu gumu kwa vile wanacheza na timu wasiyoijua na ambayo nayo inatafuta nafasi. Kikosi cha Taifa Stars ni pamoja makipa Juma Kaseja (Simba) na Mwadini Ally (Azam). Mabeki ni Aggrey Morris (Azam), Juma Nyoso (Simba), Idrissa Rajab (Sofapaka, Kenya), Erasto Nyoni (Azam), Nadir Haroub (Yanga), Godfrey Taita (Yanga) na Juma Jabu (Simba). Viungo:Henry Joseph (Kongsvinger IL, Norway), Nurdin Bakari (Yanga), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Abdi Kassim (DT Long An, Vietnam), Ramadhan Chombo (Azam) na Shomari Kapombe (Simba). Washambuliaji:Nizar Khalfan (Vancouver Whitecaps, Canada), Mrisho Ngassa (Azam), Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu(TP Mazembe, DR Congo), Dan Mrwanda (DT Long An, Vietnam), Athuman Machupa (Vasalund IF, Sweden), na Hussein Javu (Mtibwa Sugar). Kwa mujibu wa Afisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania(TFF), Boniface Wambura kikosi cha Stars kinatarajia kuondoka nchini Novemba 9 kuelekea Chad kikiwa na msafara wa watu 35 na kurejea nchini Novemba 12 siku moja baada ya mchezo.

Monday, 31 October 2011 18:43

kocha wa timu ya Taifa,Jan Poulsen
Sosthnes Nyoni
KOCHA wa timu ya taifa, Taifa Stars, Jan Poulsen jana ametangaza rasmi kikosi chake akimuita kwa mara ya kwanza kipa, Mwadini Ally ikiwa uthibitisho sahihi wa mwitikio wa kelele za wadau wa soka nchini waliokuwa wakimpigia debe ajumuishwe.

Kipa Ally, anaungana na chipukizi Shomari Kapombe katika orodha ya wachezaji wapya walioitwa na Poulsen tayari kwa mechi dhidi ya Chad.

Poulsen alikuwa kwenye wakati mgumu mwanzoni mwa mwezi uliopita alipoamua kuwateua makipa Shabaan Dihile na Shabaan Kado kwenye kikosi chake wakiwa hawana namba katika klabu zao na kumwacha Mwadini ambaye amekuwa na mchango mkubwa kwa timu yake Azam msimu huu.

Pia, Stars itaendelea kumkosa nahodha wake Shadrack Nsajigwa anayesumbuliwa na majeruhi yaliyomweka nje ya uwanja kwa zaidi ya wiki tatu sasa.

Kikosi cha Stars itaingia kambini rasmi Novemba 3 kujiandaa na mechi ya mchujo ya kuwania kushiriki fainali za Kombe la Dunia dhidi ya Chad itayofanyika Novemba 11 jijini N'Djamena.

Poulsen aliwarejesha kundini beki wa kulia wa Yanga, Godfrey Taifa pamoja na mshambuliaji wa TP Mazembe, Thomas Ulimwengu.

Kurejea kwa Ulimwengu katika kikosi hicho kumemfanya Mdenmark huyo kumtupia virago kinara wa ufungaji wa Ligi Kuu Tanzania mshambuliaji John Boko.

Mshambuliaji huyo wa Azam ameshafunga mabao saba hadi sasa, lakini kiwango kiduni alichoonyesha kwenye mchezo wa kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika 2012 dhidi ya Morocco umesababisha kuachwa.

Mbali ya Boko wengi walioachwa kwenye kikosi cha wachezaji 22 ni beki wa Simba, Victor Costa, makipa Shaaban Kado wa Yanga na Shaaban Dihile wa JKT Ruvu, kiungo Jabir Aziz wa Azam.

Poulsen aliitaja sababu ya kuwaacha Nsajigwa na Costa kuwa ni kutokana na wachezaji hao kutokuwa timamu kiafya huku akisema nyota wengine amewaaacha kutokana kuporomoka viwango, ufinyu wa nafasi na wengine kukosa nafasi a kucheza kwenye timu zao.

"Nimemwacha Nsajigwa na Costa kwa sababu bado hawako fiti kwa asilimia mia, lakini pia kuna suala la kuporomoka, ufinyu wa nafasi na wengine hawapati nafasi kwenye timu zao, kwa mfano Shaaban Kado ni kipa mzuri tu lakini muda mrefu hachezi,"alisema Poulsen.

Akizungumzia pambano hilo,Poulsen alisema kuwa litagumu gumu kwa vile wanacheza na timu wasiyoijua na ambayo nayo inatafuta nafasi.

Kikosi cha Taifa Stars ni pamoja makipa Juma Kaseja (Simba) na Mwadini Ally (Azam).

Mabeki ni Aggrey Morris (Azam), Juma Nyoso (Simba), Idrissa Rajab (Sofapaka, Kenya), Erasto Nyoni (Azam), Nadir Haroub (Yanga), Godfrey Taita (Yanga) na Juma Jabu (Simba).

Viungo:Henry Joseph (Kongsvinger IL, Norway), Nurdin Bakari (Yanga), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Abdi Kassim (DT Long An, Vietnam), Ramadhan Chombo (Azam) na Shomari Kapombe (Simba).

Washambuliaji:Nizar Khalfan (Vancouver Whitecaps, Canada), Mrisho Ngassa (Azam), Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu(TP Mazembe, DR Congo), Dan Mrwanda (DT Long An, Vietnam), Athuman Machupa (Vasalund IF, Sweden), na Hussein Javu (Mtibwa Sugar).

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania(TFF), Boniface Wambura kikosi cha Stars kinatarajia kuondoka nchini Novemba 9 kuelekea Chad kikiwa na msafara wa watu 35 na kurejea nchini Novemba 12 siku moja baada ya mchezo.Chanzo ni www.mwananchi.co.tz

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...