Skip to main content

Joseph Mwanja Azawadiwa Piki Piki


STEPS YATOA ZAWADI YA PIKIPIKI KWA MSHINDI WA DROO YA FILAMU

Jairaj Damondaran na Claude Ngalaba kutoka Steps wakiwa na mshindi wa bahati nasibu Joseph Mwanja .

Joseph Mwanje ambaye ni mkazi wa Gongo la boto jijini Dar es Salaam , ndiye aliyeibika kuwa mshindi wa Mwezi Mei wa shindano la Bahati Nasibu maarufu inayoendeshwa na Radio Cloud FM kwa kushirikiana na Steps Entertainment kupitia kipindi cha Movie Leo ambacho huendeshwa ndani ya kipindi cha Leo Tena.

Leo saa tano asubuhi katika ofisi za Steps (Kariakoo)mshindi huyo amekabidhiwa zawadi ya pikipiki yenye thamani ya shilingi laki saba na nusu (750.0000 iliyotolewa na kampuni ya KISHEN ENTERPRISES ya jijini Dar es Salaam.

"Draw hii ilianza siku ya tarehe 5 Januari mwaka huu na kufanyika kila mwisho wa mwezi. Hii ni mara ya tano kuchezeshwa ambapo mshindi wa mwezi hametokea hapa hapa jijini Dar es Salaam." Alisema Claude Ngalaba ambaye ndiye Mratibu wa shindano hilo kutoka kampuni ya Steps Entertainment.

Aidha , Mratibu huyo wa shindano hilo la bahati nasibu inayochezeshwa kila mwezi, aliendelea kufafanua kwamba filamu ambazo zimeshindanishwa kwa mwezi Mei ni Fake Promise One na Fike Promise Two , Cellular One na Selular Two ambapo kuponi za ushiriki wa bahati nasibu hiyo zinapatikana nyuma ya nakara halisi ya filamu zilizoorozeshwa hapo juu .

"Mbali ya ununuzi wa filamu hizo , pia draw hiyo inahusisha filamu zote zinazosambazwa na Steps Entertainment,"Alisema Mratibu huyo.

Lengo kubwa la draw hiyo ni kuwaamsha Watanzania ili waweze kununua kazi zilizo halisi kwa maana ya original copy ambapo nia ni kupiga vita uharamia wa kazi za filamu unaofanywa kupitia kazi za zilizo feki ambazo hutengezwa na Watanzania wachache wanaorudisha nyuma Idustry ya filamu hapa nchini.

Joseph Mwanje alikaliliwa akipasha kuwa anajiona fresh mmara baada ya kukabidhiwa zawadi , kwani mchakato wa baati nasibu hiyo ni changamoto tosha kwa wadau wengine, kubuni kitu kingine kinachoweza kufananishwa na hicho, kutaweza kuzuia wizi wa kazi feki .Alisema mshindi huyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...