Skip to main content

DOUBLE -E WAJA JUU KATIKA MUZIKI WA INJILI


WASANII wapya katika kundi lao jipya kabisa , wanaofanya muziki wa Injili hapa nchini kundi la Double - E baada yakuwa limeanza kusikika katika baadhi ya redio nchini.



Kundi hilo lenye waimbaji wawili ndungu Everne Ikingo na Ester Ikingo ambao wamekamilisha kurekodi nyimbo zaozinazokamilisha albamu katika studio ya Baucha Records ya jijini Dar es Salaam, nyimbo zao kama iitwayo Napambana nanyingene walizoziita Yesu Yupo na Its Over unaobeba jina la albamu ,vimekuwa vikifanya vizuri tangu viende katika stesheni za redio.



Kwa mujibu wa mtengenezaji wa albamu hiyo Ally Baucha , amesemakuwa kundi hilo linaundwa na wasanii wenye vipaji kutokana na kuwa wasanii hao wemelelewa katika familia nyenye taswira ya uimbaji wa injli.



Baucha amesema kuwa , kabla yawao kuwa wameanza kuimba, ambapo wameanzia hatua za uimbaji kwenye kwaya kanisani . Mama mzazi wa watoto hao awali alisha kuwa mwalimu katika ufundishaji wa uimbaji wa nyimbo.



Tayari baadhi ya wadau wakubwa katika muziki wa injili wameeleza kuwa namna ya uimbaji wa kundi hilo , inawezekana kabisa kundi hilo kuja kupata umaarufu mapema sana, kama walivyo wasanii wengine kina Frola Mbasha ,Bahati bukuku Boniface Mwaitege pamoja kundi la J.Sisters ambao nyota zao 'zimeshaini ' kupitia kanisa la AGT.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.